nilienda kuangalia matumizi ya ardhi katika mtaa wa Muhalitani ambapo nilikuwa na angalia maeneo ya sokoni wakati naangalia vichochoro vya maeneo hayo. Baada ya kutoka Site, ndo nikaanza kutrace Majengo pamoja na vichochoro hivyo kwenye talakilishi nikitumia proglam ya OpenStreetMap.
Discussion